| |
 |
HAMISI
AMIGO(AMIGORAS)- Ni Mtunzi na Muimbaji
Kiongozi wa bendi |
| |
Nilizaliwa
27 December 1970 mkoani Tabora .
Nilisoma Elimu ya msingi hapohapo na baadae kujiunga na Elimu ya
Secondary mpaka Form Six 1989 Nchini Congo(DRC).
|
| |
Muziki
nilianza zamani kiasi tangu nikiwa shuleni na mwaka 1985 nilijiunga
na band ya Normo Net ya nchini Burundi,mwaka 1991 nilirejea nyumbani
Tanzania na kujiunga Bicco Stars ya Dar,na kuhamia Chezimba Band ya
Dsm 1994 na hapo nilikaa kwa miaka sita hadi 1995 nilipojiunga rasmi
na African Stars Band wana wa kutwanga na kupepeta mpaka sasa.
|
| |
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
MRS
LWIZA MBUTU (NYONI) Muimbaji,
Mtunzi na Mcheza show
Kiongozi wa bendi msaidizi |
|
Nimezaliwa
tarehe 9February 1973 Jijini Dar es Salaam.
Nilisoma elimu ya msingi na secondar hapahapa Dar na baadae nilijiunga
na Course ya Computer na Theory of Music kabla ya |
|
kuingia
Chuo cha usimamizi wa fedha IFM kusomea Diploma ya Materials Management,
na wakati wote huo nilipenda sana muziki kwani nilianza kwa kuimba
katika kwaya mbalimbali za kanisani, lakini katika fani niliingia
rasmi 1997 na Band ya kwanza ilikuwa ni Magoma Moto Sound nilidumu
kwa mwaka mmoja na 1998 nikajiunga na African Stars mpaka sasa ila
pia nimeshawahi kushirikiana na wanamuziki wengine. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
SALEHE IDD KUPAZA Muimbaji, Mtunzi na Repa |
|
Nimezaliwa mjini Tanga mwaka 1970. Nilipata elimu
yangu ya msingi na Tanga na kumaliza mwaka 1984. Nilijiunga na sekondari
na kumaliza mwaka
1988. Mwaka
1990 nilianza rasmi
|
|
shuguli za
muziki
nikiwa na Legho stars, baadae nikaenda Mwenge wana Paselepa. Mwaka
1993 nilienda Tanga nikawa napiga muziki kwenye hotel. Nilienda
Nairobi na kujiunga na Less Wanyika mwaka 1994 na hapo mwaka 2000
nilirudi Tanzania nikawa pale Novotel na bendi ya hotelini mpaka
mwaka 2001 nilipojiunga rasmi na African stars. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
JESSICA
CHARLES -
Mtunzi na muimbaji
Nilizaliwa Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro tarehe 2 November
1970 Nimesoma mpaka kidato cha nne na kumaliza katika shule ya
Secondary ya Kibo mkoani Kilimanjaro 1987,
|
|
hata
wakati nikiwa shuleni nilipenda sana maswala ya muziki, na katika
fani niliingia rasmi 1990 na mwaka huo huo nikajiunga na Matero Band
kwa miaka miwili iliyoko Mkoani Dodoma na 1992 nikahamia Band ya Amkeni
pia ya hapo Dodoma kwani nilichokuwa nakitaka sikukipata nikahama
tena 1993 na kujiunga na Super Melody band ya hapo Dodoma na nilikaa
nayo kwa miaka mitatu kabla ya kuelekea visiwani Zanzibar kujiunga
na Coconut Band ya Zanzibar mwaka 1996, miaka miwili baadaye nikarejea
bara na kutua katika jiji la Dar es Salaam ambapo nilipata nafasi
ya kile nilichokuwa nakitafuta, kwani 1998 nikajiunga rasmi na African
Stars Band wana twanga pepeta na nipo nao mpaka sasa.
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
RAMADHANI
MASANGA (BANZA STONE) Muimbaji, Mtunzi na Repa
Nilizaliwa
hapo mwaka 1972 na kufanikiwa kumaliza elimu ya msingi katika
shule ya Mnazi mmoja Dar es Salaam mwaka 1987. Baada ya hapo nilianza
shughuli za muziki na kwenda
|
|
kusoma kwenye chuo cha utamaduni cha Korea, Korea Cultural Music
Centre kati ya miaka ya 90 na 91. Nilijiunga na Chuo cha Sanaa Bagamoyo
mwaka 2000. Kabla ya kuingia chuoni Bagamoyo nilishaanza muziki
na kupigia bendi zifuatazo, The heart Strings, Achigo Band kama
mpiga drums, Afri-Swez baadaye African Stars. Nilitoka African stars
na kwenda Tanzania One theatre TOT na baadae Bambino Sound na hatimaye
African Stars Band wana wa kutwanga na kupepeta mpaka hivi sasa. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
MSAFIRI
DIOUF Muimbaji, Mtunzi na
Repa |
|
Coming
Soon |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
|
|
|
|
|
|
|
CHARLES
G. CYPRIAN (Chaz baba) Muimbaji,
Mtunzi na Repa
1981
ndiyo mwaka wangu wa kuzaliwa na ilikuwa hapa jijini Dar. Nilipata
elimu yangu ya msingi na sekondari lakini niliishia form 2 mwaka
2004. Shughuli za muziki nilizianza tokea nasoma.
|
|
|
Nilijiunga
na Jandaheka Band ya Bagamoyo baadae Less Bandu. Baada ya bendi
hizo mbili nilijiunga na Stone Musika Wajelajela Original. Nikaenda
tanga kuanzisha bendi ambayo ilikuwa inajulikana kama Fax Jazz.
mambo hayakuwa mazuri nikajiunga na Sot Sound ya Dar baadae nikaenda
Mchinga Sound ambako sikukaa sana nikajiunga na African stars wana
wa kutwanga na kupepeta mpaka hivi sasa. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
KHALID
ABDUL CHUMA (Chokoraa) Muimbaji,
Mtunzi na Repa
Nilizaliwa
pale Bagamoyo mnamo mwaka 1981 nakupata elimu yangu ya msingi
hapo Bagamoyo kuanzia mwaka 1991 mpaka 1997. Mambo ya muziki niliyaanza
shuleni ambapo nilikuwa katika
|
|
vikundi vya kwaya. Mwaka 1998 nilienda Zanzibar kwenye shule ya
ufundi na nilipomaliza nilirudi Dar, ambapo nilijiunga na Coconut
Band alafu nikaenda Tanga nikajiunga na Mokibo Sound kabla ya kwenda
Dar Capital. Nilifanikiwa kwenda Nairobi Kenya kupiga kwenye Mahotel
na bendi hiyo na baadae kurudi Tanga. Nilijiunga na Extra Bongo
mwaka mwanzoni mwa mwaka jana. Na baada ya hapo nilijiunga na African
stars mpaka sasa. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
....Next
/ Endelea.... |
 |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|