| |
 |
MIRAJI
HASSAN SHAKASHIA Sololist
Nimezaliwa
mwaka 1974 huko Lushoto Tanga na kupata eleimu yangu ya msingi
katika shule ya msingi Mlimani Tanga mpaka mwaka 1991. Baada ya
hapo nikaanza kujifunza muziki kwenye
|
| |
kikundi cha Makutano Dancing Troupe. Nilijiunga na Zaita Musica hapo
mwaka 1992. Mwaka uliofuata yaani 1993 nilijiunga na MK Groupe kwa
mwaka mmoja na mwaka 1994 nikaendaVijana Jazz Bendi. Nilirudi tena
Tanga na kujiunga na The Golden Sound Band ambayo ilinichukua mpaka
Nairobi Kenya. Mwaka 2000 nilijiunga rasmi na The African Stars Band
mpaka hivi sasa. |
|
|
|
|
|
|
|
 |
ALLY
AKIDA Guitarlist
Nimezaliwa
mwaka 1971 hapa hapa Dar es Salaam na kupata elimu yangu ya msingi
katika shule ya msingi Vikawe mkoani pwani mwaka 1979. Sikubahatika
kuendelea na elimu ya sekondari
|
|
ndipo nilipoanza kujishughulisha na shughuli
za hapa na pale mpaka mwaka 1990 ndipo nilipoanza rasmi kujishughulisha
na muziki. Mwaka huo huo nikajiunga na Chuma Dancing Troupe, baadaye
nilienda Morogoro na kujiunga na Kikundi cha sanaa cha SUA kabla ya
kujiunga na Ruaha International hapo mwaka 1993. Mwaka uliofuatia
nilijiunga na MCT ( Muungano Cultural Troupe). Baadaye nikaenda Vijana
Jazz Band na mwaka 2000 ndipo nilipojiunga na Africanstars wana wa
kutwnga na kupepeta hadi leo hii.
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
ISMAIL
KIZUNGA Guitarlist
Mwaka 1975 ndiyo mwaka wa kuzaliwa na nikasoma shule ya msingi
Mazinyungu wilayani Kilosa mkoani Morogoro hapo mwaka 1982 na
kufanikiwa kumaliza mwaka 1989. Mwaka
|
|
1990 niliamia Morooro mjini. Miaka miwili baadaye nilienda Kenya
na mwaka 1998 nilikuwa Zibwabwe safari zote hizi ni kwa ajili ya
muziki na kujiendeleza zaidi kimuziki. Katika Safari zangu mwaka
2001 nilirudi na kujiunga moja kwa moja na Africanstars mpaka sasa. |
|
|
|
|
|
|
|
|
JOJO
SAIDY JUMANNE Bass Guitarlist
Nilizaliwa
tarehe 9 March 1966 Ocean Road Jijini Dar es Salaam Lakini asili
yangu ni Mndengereko, nilisoma mpaka darasa la saba katika shule
ya msingi Mwananyamala na wakati wote huo nilikuwa
|
|
Napenda sana kazi ya Muziki ila kwenye fani hii nimeingia rasmi mwaka
1987 na Band ya kwanza kupigia ni Super Stars ya Mbeya, mwaka 1989
nilienda mjini Dodoma na kujiunga na Band ya Jambo Stars ya mjini
hapo ambayo nilikaa nayo kwa muda wa mkwa mmoja tuu kwani 1990nilirudi
Dar na kujiunga na Bantu Group, pia sikukaa nayo sana kwani 1992 nilihamia
Bicco Stars ya Dar pia na kisha Tanza Musica ya Dar pia mwaka 1995.1996
nilijiunga na Diamond Sound Band kwa kipindi cha miaka minne hadi
2000 nilipoingia katika familia ya African Stars Band wana Twanga
Pepeta mpaka sasa
|
|
|
|
|
|
|
|
 |
|
|
|
|
VICTOR
ELIAS MKAMBI Keyboard
Player
Nilizaliwa
15 April 1972 Wilaya ya Sumbawanga Mkoani Rukwa Tanzania Nimesoma
mpaka darasa la saba hukohuko Sumbawanga na baadae nikajiunga na
Chuo cha ufundi |
|
Chang'ombe
(Chang'ombe Techinical Collage) Dar es Salaam. Nikiwa shule na chuoni
nilijihusisha na maswala ya muziki lakini rasmi nimeingia kwenye
fani hii mwaka 1990 na Band yangu ya kwanza ni Makondeko Six 1990
nilikaa mpaka 1993 na Band hiyo na kisha nikajiunga na MK Beats
Wana Tukunyema 1993 jijini Dar, mwaka 1994 nilihamia Vijana Jazz
kwa miaka mitano hadi 1999 nilipojiunga na African Stars wana wa
kutwanga na kupepeta mpaka sasa. |
|
|
|
|
|
|
|
 |
THABIT ABDUL (Mtoto wa Ilala)
Keyboard
Player
Nimezaliwa
tarehe 12/10/1977 Kisarawe Pwani na kupata elimu yangu ya msingi
hapa Dar katika shule ya msingi Ananasifu Kinondoni. Nilianza
shughuli za muziki na vikundi vya chama kwa
|
|
upande wa taarabu. Nilijiunga na TOT mwaka 1999. Nilikaa kwa muda
wa mwaka nikajiunga na African stars na baadae kwenda Extra Bongo
ambapo napo nilikaa kwa muda wa kama mwaka hivi na hatimaye kurudi
tena African stars wana wa kutwanga na kupepeta mpaka hivi sasa. |
|
|
|
|
|
|
|
 |
ABUU
SEMUANDO (Baba Diana) Drums
Mimi
nilizaliwa 25 October 1952 katika Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga,
nilisoma mpaka darasa la nane Middle school hukohuko Muheza na
kumaliza mwaka 1965 na niliajiriwa kama karani wa
|
|
Daily News mwaka1970 mpaka 1978 na wakati wote huo ndoto yangu ilikuwa
kuja kuwa mwanamuziki, na katika fani niliingia rasmi 1979 na band
ya kwanza ilikuwa Matimila band ya jijini Dar es Salaam nilikaa
nayo miaka miwili na kuhamia Vijana Jazz Band 1982, nilidumu huko
kwa miaka 11 na nikajiunga na Tanza Muzika ya Dar pia mwaka 1993
mpaka 1994, baadae nilijiunga na Diamond Sound Band mwaka 1994 mpaka
1997 kabla ya kuingia katika familia ya African Stars Band Wana
wa kutwanga na kupepeta mwaka 1998 mpaka sasa. |
|
|
|
|
|
|
|
 |
YAHAYA
Drums |
|
Coming
Soon |
|
 |
SUDI MCD (CALVIN TIMBO)
Paccion Boy
Nilizaliwa
tarehe 10 September 1973 Moshi mkoani Kilimanjaro Nilisoma Elimu
ya msingi Moshi na kisha kujiunga Elimu ya Secondary Tambaza 1991,
mpaka mwaka 1995 nilijiunga na
|
|
|
|
|
|
|
|
Bagamoyo College Of Arts nikapata mafunzo ya cheti (Certificate)
mpaka 1998 ambapo sasa nikaingia rasmi katika fani ya muziki na
band yangu ya kwanza mwaka huo huo ilikuwa Diamond Sound mpaka 2000
nilipohamia African Stars Wana Twanga Pepeta mpaka leo hii. |
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
|
....Next
/ Endelea.... |
 |
|
|
|
|
|
|
|
|
|