Tovuti za Tanzania
MUSIC PRODUCTION STUDIO
 
 

Karibu kwenye Studio yetu ya ASET.

Zifuatazo ni kanuni na sheria ili uweze kufanya kazi
kwenye studio zetu
zilizopo maeneo ya
Mbezi beach mtaa wa maji

1. GHARAMA ZA KUREKODI ( MCHANA )

(a). CHOIR - ALBUM 200,000/= KWA MASAA 8,
20,000/= KWA KILA SAA INAYOONGEZEKA.

(b). BAND - 90,000/= SINGLE = KWA MASAA 3.

(c). TAARABU - 90,000/= SINGLE = KWA MASAA 3.

(d). BONGO FLAVOR - 70,000/= SINGLE = KWA MASAA 3.

(e). MCHIRIKU - 50,000/= SINGLE = KWA MASAA 2.

• KWA USIKU INAONGEZEKA SH. 10,000/=


2. MASTER
CD - EMPTY 5,000/=
CROME - EMPTY 5,000/=

3. MATANGAZO
(a). TANGAZO SAUTI TUPU 100,000/=
(b). TANGAZO KUIMBA 200,000/=

4. MAZOEZI KWA WANAOTAKA KUREKODI:
SHILINGI 10,000/= KWA SAA

5. TAARIFA ZA STUDIO

a) Mteja anatakiwa alipe malipo ya awali wakati wa kufanya booking 60%.

b) Malipo yaliyobaki, unakuja kuyalipa wakati unapokuja kurekodi na kabla hujaingia studio.

c) Utunzaji wa master yako ni shilingi 500/= kwa siku.

d) Mteja atatakiwa afike siku na saa alizopangiwa, taarifa ya kuahirisha kazi ni masaa 24, iwe umepangiwa au hujapangiwa siku ya kazi na utakatwa 50% endapo utahitaji kurudishiwa pesa.

e) Tunaanza kurekodi ala, halafu sauti.

f) Mteja amalizapo kazi, haitaruhusiwa kulala studio kwa kazi za usiku.

g) Mteja anatakiwa kuhakikisha muda wa kuanzia recording, kabla ya kuanza.

h) Mteja anatakiwa kulipa usafiri kwa kazi za ghafla pamoja na usiku, shilingi 10,000/=.

i) Usiingie studio kama huna kazi.

j) Risiti itatolewa kwa malipo yoyote yatakayofanyika.

k) Kabla ya kuchukua master hakikisha umeridhika na kazi yako, malalamiko ya baada ya masaa 48 kumaliza kazi hayatapokelewa.

l) Hakikisha unapoingia studio, malipo yote yamefanyika na unazo risiti za kuonyesha malipo hayo.

AHSANTE! AHSANTE! NA KARIBU TENA.
 
Matangazo
 
 
 
All rights reserved by ASET
Powered by Benton MEDIA